Biblia kwa Wana

Hadithi zaubama kulawa kwenye Biblia. Bure kabisa.

Kusudi letu

Mathayo 19:14 Yesu alisema, 'Walekeni wana wadodo wise Kuno, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wao.'

Biblia ya wana kumtendela Yesu Kristo komanyigwe na wana kwa kutegelesa hadithi za Biblia zilizoonyeshwa na vifaa vinavyohusiana katika aina tofauti na vyombo vya habari, pamoja na Mtandao yosi Ulimwenguni, Simu ya Mkononi / PDA, nakala zilizochapishwa za rangi na vitabu vya kuchorea. lugha ambayo mwana kodana kulonga.

Hadithi hizi za Biblia zinapaswa kugawanywa kwa wana bilioni 1.8 wa ulimwengu bure kila inapowezekana.

Jarida Jisajili

Receive